Jun 22, 2025

DKT. KAIJAGE:WATUMISHI OKTOBA TUNATIKI KWA DKT . SAMIA KWA MASLAHI BORA YA WAFANYAKAZI


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Wafanyakazi, Dkt. Alice Kaijage akichangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali bungeni Dodoma Juni 19, 2025, amesema kuwa kwa maboresho makubwa aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa watumishi nchini, wameahidi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages