Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, John John Nchimbi,leo Juni 28,2025 amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao, Ndugu John amechukua fomu hiyo kwenye Ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma.
Your Ad Spot
Jun 28, 2025
ALIYEKUWA MKURUGENZI MBEYA AJITOSA UBUNGE NYASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇