May 15, 2025

WATANZANIA TUWE WAZALENDO TUPENDE BIDHAA ZETU - JAFFO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jaffo amesema kuwa Kiwanda kikubwa cha magari cha Saturn kilichopo Kigamboni Dar es Salaam, kina uwezo wa kuzalisha magari 9000 kwa mwaka na hadi sasa kimeajiri watanzania 250. Amebainisha hayo alipokuwa akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari- MAELEZO jijini Dodoma Mei 15, 2025 kuelezeamiaka minne ya mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Jaffo akipongezana na wakuu wa taasisi zilizopo  chini ya wizara hiyo baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari.

Sehemu ya waandishi wa habari kwenye mkutano huo.
 

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa akizungumza maneno ya kuhitimisha mkutano huo.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203


 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages