May 15, 2025

RAIS SAMIA AFANYA MAKUBWA WIZARA YA MADINI

 

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameeleza kuwa Bajeti ya wizara hiyo kwa miaka mingi imekuwa ndogo lakini sasa katika Awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan imeongezwa kwa kiasi kikubwa na kuvunja rekodi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Mei 15, 2025 kuelezea mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.


Sehemu ya waandishi wa habari kwenye mkutano huo.
 

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa akizungumza maneno ya kuhitimisha mkutano huo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203



No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages