Mbunge wa Nyang'wale, Hussein Amar ameitaka serikali kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini kwa kuwapatia mikopo ili kuwaendeleza na kuongeza pato la Taifa.
Aidha ameshauri kupigwa marufuku kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na kutaka yawe yanaongezwa thamani hapa hapa nchini.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇