May 3, 2025

DKT. KAIJAGE ALIVYOIBUA HOJA YA DHARURA YA KULIOMBA BUNGE KUMPONGEZA RAIS SAMIA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia kundi la Wafanyakazi, Dkt. Alice Kaijage ametoa hoja ya dharura leo Bungeni Dodoma, akiliomba Bunge kutoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kitendo chake cha kupandisha mshahara wa kima chini kutoka sh. 370,000 hadi 500, 000 kwa mwezi.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages