May 20, 2025

JWTZ, JKT WAFIKA BUNGENI KUFUATILIA UWASILISHWAJI WA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe (kushoto) akiwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda (wa pili kushoto), Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, Luteni Jenerali Salum Haji Othman (Wa pili kulia) na  Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabe. Wakiwa wamesimama wakati Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackoni akiomba dua wakati wa kikao ambapo baadaye ulifuatiwa mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo bungeni Dodoma Mei 20, 2025.
Baadhi ya maafisa waandamizi wa majeshi wakiwa  bungeni tayari kufuatilia mwenendo wa Bajeti yao.




 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages