May 29, 2025

DKT. SAMIA AFUNGUA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM TAIFA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 29 Mei,2025.

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia kabla ya kufungua Mkutano Maalum wa Chama hicho

Baadhi ya wajumbe na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano huo.












 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages