Apr 24, 2025

TAMISEMI YAIAGIZA HALMASHAURI YA NYANG'WALE KUJENGA SOKO LA KISASA KALUMWA


 Mbunge wa Nyang'wale, Nassor Amar ameihoji Serikali bungeni Dodoma leo Aprili 24, 2025, kwamba ina mpango gani wa kujenga soko la kisasa katika Mji wa Kalumwa ambao ni Makao Makuu ya wilaya Nyang'wale?

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages