Apr 10, 2025

SALOME MAKAMBA AIRARUA CHADEMA BUNGENI


 Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Salome Makamba akipingana na kauli mbiu iliyoanzishwa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu ya No Reform, No Election kwamba inakiuka Katiba ya Nchi na kusababisha uasi.

Pamoja na mambo mengine,Makamba ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu ya 2025/ 2026 bungeni Dodoma Aprili 10, 2025. Baada ya wabunge kufurahishwa na mchango wake huo waliamua kumtuza fedha papo kwa papo.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI 
BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages