Serikali imekubali ombi la Mbunge wa Mpanda mjini, Sebastian Kapufi kusaidia ujenzi wa uzio katika shule za Mbanda Day na Mwangaza kuunga mkono nguvu za Halmashauri.
Naibu Waziri Ofisi Raia, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainabu Katimba alilikubali ombi hilo kwa niaba ya serikali.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇