Apr 15, 2025

ASKOFU CHANDE AONGOZA WAUMINI KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI IPAGALA DODOMA

Waumini wa Kanisa la Karmel Asembilies of God (KAG), wakiongozwa na Askofu wa kanisa hilo, Evance Chande wamefanya usafi wa mazingira na kupanda miti kanisani, eneo la ofisi ya Afisa Mtendaji Kata na Kituo cha Afya cha Ilazo jijini Dodoma Aprili 14, 2025, ikiwa ni sehemu ya shamrashamra kuelekea kilele cha kusimikwa rasmi uaskofu Dkt. Chande Aprili 19, 2025.




Mwenyekiti wa CCM Kata ya Ipagala, akipanda mti aina ya mchungwa.


Baadhi ya waumini na wananchi wakifurahia kitendo hicho.





 

IMEANDALIWA NA 
RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages