Pamoja na mambo mengine, ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari -MAELEZO jijini Dodoma Machi 14, 2025, kuhusu mafanikio ya Mamlaka hiyo kuelekea maadhimisho ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Aidha, Mhandisi Rujomba amesema kuwa AUWSA imevunja rekodi kwa kutoa huduma ya maji kwa asilimia 99 badala ya asilimia 95 inayotakiwa kufikiwa ifikapo 2025 kwa mujibu wa utekekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇