Wanachama na wapenzi wa Yanga mkoani Dodoma wamezidi kupaza sauti dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) , Warace Karia kwa maneno yake ya kashfa dhidi ya viongozi wa Yanga baada ya na Bodi ya Ligi kuahirisha derby ya Kariakoo bila kufuata kanuni.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇