Mar 22, 2025

WANAYANGA DODOMA WAZIDI KUPAZA SAUTI DHIDI YA KARIA


 Wanachama na wapenzi wa Yanga mkoani Dodoma wamezidi kupaza sauti dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) , Warace Karia kwa maneno yake ya kashfa dhidi ya viongozi wa Yanga baada ya na Bodi ya Ligi kuahirisha derby ya Kariakoo bila kufuata kanuni.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI 
BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages