Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi wa Siasa, Serikali, dini na makundi maalum kwenye Iftar aliyowaandalia katika viwanja vya kufurahisha watoto vya Tibirinzi, Wilaya ya Chake chake mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar tarehe 24 Machi, 2025.
Mar 24, 2025
RAIS SAMIA AFUURISHA VIONGOZI WA SIASA, SERIKALI, DINI NA MAKUNDI MAALUMU PEMBA
Tags
Dini#
featured#
Share This
About Blog Updates👇🏻
featured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇