Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele na
Mjumbe wa Tume Mhe. Magdalena Rwebangira leo
wametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya
watendaji wa uboreshaji wa jimbo katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhusu
uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kushuhudia mwenendo wa mafunzo
hayo ambayo ni maandalizi ya zoeazi la uboreshaji wa Daftari unaotaraji kuanza
Machi 17 hadi 23, 2025. (Picha na INEC).
Your Ad Spot
Mar 11, 2025
Home
featured
Kitaifa
MWENYEKITI WA INEC, JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA MAFUNZO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
MWENYEKITI WA INEC, JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA MAFUNZO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇