Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele na
Mjumbe wa Tume Mhe. Magdalena Rwebangira leo
wametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya
watendaji wa uboreshaji wa jimbo katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhusu
uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kushuhudia mwenendo wa mafunzo
hayo ambayo ni maandalizi ya zoeazi la uboreshaji wa Daftari unaotaraji kuanza
Machi 17 hadi 23, 2025. (Picha na INEC).
Mar 11, 2025
Home
featured
Kitaifa
MWENYEKITI WA INEC, JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA MAFUNZO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
MWENYEKITI WA INEC, JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA MAFUNZO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About CCM Blog
RAIS DK. SAMIA ATENGUA UTEUZI WA POLEPOLE, AMUONDOLEA HADHI YA UBALOZI
INEC YAZINDUA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2025, IDADI YA WAPIGA KURA YAPAA KWA ASILIMIA 26.55 , POLISI WAKABIDHIWA MAJINA YA WALIOJIANDIKISHA MARA MBILI
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI WA TANZANIA DK. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇