Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya
Jiolojia na Utafiti Tanzania (GST), Notka Banteze akizungumza na waandishi wa habari, kwenye
Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dodoma, kuhusu mafanikio na mwelekeo wa
ofisi hiyo ndani ya miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita.
Wanahabari wakiwa katika mkutano huo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇