LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 7, 2024

MSIONE AIBU KUICHAGUA CCM UCHAGUZI UJAO - DK. NCHIMBI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi, Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka wananchi kutoogopa wala kuona aibu kukichagua chama hicho wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024.

Ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi wakati wa ziara yake ya kwanza mkoani Simiyu Oktoba 6, 2024.


 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages