LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 1, 2024

WANANCHI NA WADAU WA MAZINGIRA KINONDONI WAFANYA USAFI KATIKA ZAHANATI YA KIJITONYAMA,

Matukio mbalimbali Wananchi na Wadau wa Mazingira Wilaya ya Kinondoni wakishiriki kufanya usafi wa mazingira  katika Zahanati ya Kijitonyama, leo Agosti 31, 2024, kama ilivyo desturi ya wananchi na wadau kufanya usafi kila Jumamosi ya Mwisho wa mwezi.

 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages