LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 24, 2024

RAIS DK. SAMIA AZINDUA SHULE YA AWALI NA MSINGI KIINGEREZA YA CHIEF ZULU, SONGEA, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akitazama Mwanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu, Teofilo Mbunda kuhusu anavyomudu matumizi ya Kompyuta baada ya kufungua rasmi shuleni hiyo, Songea mkoani Ruvuma leo, Septemba 24, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akivuta kikata utepe kufungua rasmi Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu, Songea mkoani Ruvuma leo, Septemba 24, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu, Songea mkoani Ruvuma, leo Septemba 24, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa na wannafunzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu, Songea mkoani Ruvuma, baada ya kufungua rasmi shule hiyo, leo Septemba 24, 2024.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages