LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 22, 2024

MONGELLA: ZINGATIENI KATIBA, UTUNZAJI SIRI

 

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, ndugu John Mongella, amewasili Kigoma na kufanya kikao - kazi na viongozi waandamizi na watumishi wa CCM mkoani humo, Septemba 21, 2024.


Katika kikao-kazi hicho pamoja na mambo mengine, ndugu Mongella amesisitiza suala la kuendelea kujenga umoja na mshikamano, utunzaji wa siri za vikao, kusimamia Katiba ya CCM, kanuni, miongozo na taratibu mbalimbali za Chama na Jumuiya zake




 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages