Maelfu kwa Maelfu ya Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma waliofurika kwa wingi Uwanja wa Majimaji Songea mjini kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan wa kuhitimisha ziara mkoani huo leo September 28,2024.
Rais Samia akiwapungia mkono wananchi alipokuwa akiingia uwanjani hapo.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇