Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda (katikati) akisalimiana Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbinga, Bashiru Madodi.walipokutana katika mkutano uliohutubiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea mkoani Ruvuma Septemba 23, 2024. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa UWT, Zainab Khamis Shomari.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu anayewakilisha Vyuo Vikuu, Dk. Tea Ntala walipokutana katika mkutano uliohutubiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea mkoani Ruvuma Septemba 23, 2024. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa UWT, Zainab Khamis Shomari.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇