LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 25, 2024

RAIS DK SAMIA AONGOZA SIKU YA MASHUJAA MJINI DODOMA, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka silaha za Asili (Mkuki Ngao) na shada la maua kwenye mnara wa Mashujaa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024.
 




No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages