LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 4, 2024

PROF NDAKIDEMI ATAKA BARABARA ZA KWENDA MLIMA KILIMANJARO ZIBORESHWE

Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi ameitaka serikali kujenga barabara kuelekea Mlima Kilimanjaro ili kuvutia zaidi watalii, lakini pia ameishauri serikali kuweka viberenge katika mlima huo ili kuongeza idadi zaidi ya watalii.

Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 3, 2024.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages