Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Ruvuma, Mariam Nyoka ameitaka serikali inafanya mkakati wa kuhakikisha maafisa Ugani wanafika kwa wafugaji kutoa huduma kwa mifugo.
Amehoji hilo awakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Juni 10, 2024.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇