Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika pamoja na mambo mengine ametilia shaka maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Njombe Mjini- Ludewa ambao anadai unasuasua.
Aidha, ameshauri serikali iangalie jinsi ya kuwasaidia kifedha wakandarasi wazawa ambao kwa hivi sasa baadhi yao wanafilisika na kutotekeleza vizuri miradi.
Pia amesema kuwa serikali ijikite kwenye miradi ya mkakati inayoharakisha uchumi wa nguvu na kwa haraka.
Ametoa mchango wake huo wakati wa mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇