Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt Doroth Gwajima akitoa hotuba ya makadirio ya Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 bungeni Dodoma Mei 17, 2024. Wizara hiyo imeomba fedha sh. bilioni 67.9 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇