Msemaji Mkuu wa Wamachinga nchini ambaye alikuwa mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zeche Chengula kutoka Iringa amejiunga leo na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukabidhiwa kadi ya uanachama na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi katika mkutano uliofanyika jijini Mbeya. Pichani ni Zeche akiwa amebebwa baada ya kukabidhiwa kadi.
Zeche akikabidhiwa kadi ya CCMFuraha baada ya kukabidhiwa kadi
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla akimtambulisha Zeche.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇