Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akisimikwa kuwa chifu wa makabila ya mkoani Songwe wakati wa ziara ya kikazi mkoani humo Aprili 16, 2024.
Dkt Nchimbi akiwashukuru machifu baada ya kusimikwa kuwa Chifu.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇