Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana, baada ya mazungumzo yao wakati Balozi Fatou alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuaga kufuatia kumaliza muda wake wa kazi Tanzania, leo Aprili 23, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana wakati Balozi Fatou alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana baada ya mazungumzo yao wakati Balozi Fatou alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Tanzania.
Your Ad Spot
Apr 23, 2024
Home
featured
Kitaifa
RAIS DK. SAMIA AAGWA NA BALOZI WA RWANDA ANAYEMALIZA MUDA WAKE WA KAZI TANZANIA, LEO IKULU MJINI DODOMA
RAIS DK. SAMIA AAGWA NA BALOZI WA RWANDA ANAYEMALIZA MUDA WAKE WA KAZI TANZANIA, LEO IKULU MJINI DODOMA
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇