CLIP: Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ametoa maagizo au maelekezo kwa wanachama wa CCM moja ya njia muhimu za kufanya kupata wagombea mahiri na wenye ari, wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu hapa nchini. Tafadhali msikilize👇
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇