Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akimfariji Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mikocheni Jijini Dar es Salaam, leo.
Rais Mstaafu Dk. Jakaya
Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Hayati Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mikocheni
Jijini Dar es Salaam, leo. Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete.
Rais Mstaafu Dk. Jakaya
Kikwete akiwafariji Wanafamilia na waombolezaji wengine, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Hayati Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mikocheni
Jijini Dar es Salaam, leo.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, akimfariji Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Hussein Ali Mwinyi, nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Hayati Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mikocheni
Jijini Dar es Salaam, leo.
Your Ad Spot
Mar 1, 2024
Home
featured
Kitaifa
RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE AFIKA MSIBANI NYUMBANI KWA HAYATI MZEE MWINYI, MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE AFIKA MSIBANI NYUMBANI KWA HAYATI MZEE MWINYI, MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇