LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 2, 2024

RAIS DK. SAMIA ALIPOPOKEA MWILI WA HAYATI MZEE MWINYI MJINI ZANZIBAR, JANA JIONI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi wakiomba Dua mbele ya Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu awamu ya pili Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, lilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume mjini Zanzibar jana, Machi Mosi, 2024.

 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akimfariji Mama Siti Mwinyi, Mjane wa Rais Mstaafu awamu ya pili Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kupokea mwili wa hayati Mzee Mwinyi, jana, tarehe 01 Machi 2024.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages