Tuzo ya Uwezeshaji Wanawake
- Kutambua mchango wa Mhe Neema Lugangira katika uwezeshaji wanawake na watoto wa kike kupitia kuchagiza mabadiliko ya Sera & Sheria na kuimarisha Sekta ya Afya na Haki ya Jamii nchini Tanzania na Barani Afrika
Tuzo imetolewa na Shirika la Kimataifa Journalists and Writers Foundation ambao ni Wanachama
Waangalizi wa Umoja wa Mataifa
đź—“️ 12 Machi 2024
📍New York, Marekani

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇