Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili leo katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Dk. Hage Geingob, yatakanyika Windhoek tarehe 24-25 Februari, 2024.
Wanajeshi wa Namibia wakimpa heshima Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwasili leo katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Dk. Hage Geingob, yatakanyika Windhoek tarehe 24-25 Februari, 2024.
Your Ad Spot
Feb 23, 2024
Home
featured
Kitaifa
RAIS DK. SAMIA AWASILI WINDHOEK NCHNI NAMIMBIA KUSHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA RAIS WA NCHI HIYO DK. GEINGOB
RAIS DK. SAMIA AWASILI WINDHOEK NCHNI NAMIMBIA KUSHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA RAIS WA NCHI HIYO DK. GEINGOB
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About CCM Blog
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇