LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 28, 2024

NDALICHAKO, KAIRUKI WATETA JAMBO NA MWAKILISHI MKAZI WA UN NCHINI

 



WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Mkuu,  Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako (kulia) na Waziri wa Maliasili na Utalii,  Angelah Kairuki (katikati) wakijadiliana jambo na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Zlatan Milisic wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la Kodi na Uwekezaji uliofanywa na Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Februari 27, 2024.





IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages