LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 16, 2024

GULAMALI AZIDI KUVIPAMBANIA VIJIJI KUPATA MAWASILIANO YA SIMU MANONGA


 Mbunge wa Jimbo la Manonga, Seif Gulamali ameihoji serikali bungeni Dodoma Februari 16, kwamba ni lini itpeleka mawasiliano ya simu katika vijiji vya  Ncheli,  Matinje na Mwakabuta jimboni humo?

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA M
HARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages