LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 22, 2024

DK. NCHIMBI ATINGA MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akiwasili Makao Makuu ya chama hicho wakati wa mapokezi jijini Dodoma Januari 23, 2025.
Dkt . Nchimbi akivishwa skafu na vijana wa UVCCM
Dkt. Nchimbi akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, Neema Majule.
Msafara wa Dkt. Nchimbi ukitokea Uwanja wa Ndege wa Dodoma kwenda Makao Makuu ya CCM.
Dkt. Nchimbi akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaji Adam Kimbisa.

Dkt. Nchimbi akijadiliana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Anamring Macha.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda akiwa miongoni mwa viongozi walioshiriki mapokezi ya Dkt Nchimi.
Sehemu ya wanachama na wafuasi wa CCM



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203
 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages