LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 22, 2024

DK. NCHIMBI ALAKIWA KIMILA DODOMA

 

Wazee wa kimila wakimvisha mgolole ikiwa ni ishara ya kumsimika Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapimduzi (CCM), DKT. Emmanuel Nchimbi kuwa Chifu wa kabila la wagogo katika hafla iliyofanyika wakati wa mapokezi yake katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Januari 23, 2024.
Akikabidhiwa ngao
Akikabidhiwa mkuki


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages