LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 23, 2024

DK. NCHIMBI AMPONGEZA CHONGOLO KWA KUKIIMARISHA CHAMA


 Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi kwa niaba ya CCM amemshukuru na kumpongeza mtangulizi wake Komredi Daniel Chongolo kwa kazi kubwa aliyoifanyia CCM tofauti na alivyoikuta.


Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akihutubia wakati wa mapokezi yaliyofanyika Makao Makuu ya chama hicho jijini Dodoma Januari 22, 2024.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages