LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 25, 2024

BUTONDO: YANGA TUTAWABAGAZA WABUNGE WA SIMBA MICHEZO YOTE


 Mbunge wa Kishapu, Boniface Butondo ambaye ni mnazi mkubwa wa Klabu ya Yanga amejinasibu kuwa watawafunga michezo yoto wabunge wapenzi wa Klabu ya Simba katika Bonanza la michezo litakalofanyika Jumamosi Januari 27, 2024 kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.


Majigambo hayo ameyatoa leo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma mbele ya Mwandishi wa habari hizi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages