LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 5, 2023

SHEKIMWERI AIPONGEZA BRELA KUWAPIGA MSASA MAWAKILI, WAFANYABIASHARA


 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabiri Shekimweri akizungumza katika warsha ya dhana ya Wamiliki Manufaa wa kampuni na majina ya biashara iliyoandaliwa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Lerseni (BRELA) na kuhudhuriwa na mawakili, wahasibu, wafanyabiashara na maafisa wa kampuni za ushauri wa biashara jijini Dodoma Desemba 5, 2023.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI 
BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages