LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 9, 2023

RAIS DK. SAMIA ATEMBELEA BANDA LA MAONYESHO LA HAZINA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU, LEO MJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akimsikiliza Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu, alipotembelea baada la Maonyesho la Hazina, kwenye Maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara, mjini Dodoma, leo Disemba 9, 2023. Kulia kwa Rais ni  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.(Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages