LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 9, 2023

RAIS DK. SAMIA AVUNJA BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA)

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ikisema Rais amefanya uamuzi huo juzi, Novemba 7, 2023.

Bodi ya TCRA iliyovunjwa na Rais👇


No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages