LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 10, 2023

IWE MVUA AU JUA, CCM TUTAWATUMIKIA WANANCHI -MAKONDA





Matukio mbalimbali katika picha kutoka Muleba mkoani Kagera ambapo Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (NEC) - Itikadi na Uenezi Komredi Paul Makonda anasalimiana na mamia ya wanachama, wakereketwa, wapenzi, wafuasi na mashabiki wa CCM pamoja na wananchi waliosimamisha msafara wake wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Chato leo tarehe 10 Novemba 2023.


@ccmtanzania


#CCMImara

#TunaImaniNaSamia

# KaziIendelee

 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages