Mbunge wa Bukoba Vijijini, Dkt, Jasson Rweikiza ameitaka serikali kukamilisha haraka ujenzi wa miradi ya maji katika Kata 6 na Kemondo Bukoba Vijijini.
Rweikiza ameihoji serikali bungeni Dodoma Novemba Mosi, 2023 kwamba ni lini itakamilisha ujenzi wa miradi ya maji katika jimbo hilo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇