Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Dk. Frank-Walter Steinmeier, kesho Novemba Mosi, 2023.
anatarajiwa kutembelea Songea mkoani Ruvuma, kuona Makumbusho ya kumbukumbu ya Vita vya Majimaji vilivyotokea wakati wa ukoloni wa Wajerumani.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas, baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Songea Raisn Dk Frank-Walter Steinmeier, ataenda moja kwa moja katika Makumbusho hiyo ambako atapata historia na kutoa heshima kwa mashujaa waliokufa katika vita hivyo vilivyopiganwa mwaka 1905- 1907.
Kanali Thomas ameongeza kuwa pamoja na kutoa heshima Rais huyo atakutana na baadhi ya walioathirika na vita hivyo na pia atatembelea Shule ya Msingi Majimaji.
Rais Dk. Frank-Walter Steinmeier yupo Tanzania kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia kuanzia leo hadi kesho Novemba Mosi, 2023.
Your Ad Spot
Oct 31, 2023
Home
featured
Kimataifa
RAIS WA UJERUMANI KUZURU MAKUMBUSHO YA VITA VYA MAJIMAJI MJINI SONGEA, KESHO
RAIS WA UJERUMANI KUZURU MAKUMBUSHO YA VITA VYA MAJIMAJI MJINI SONGEA, KESHO
Tags
featured#
Kimataifa#
Share This
About CCM Blog
Kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇