Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda leo Oktoba 2, 2023, tayari kuanza ziara ya siku tano mkoani Katavi. Akiwa mkoani humo atafanyakazi ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi pamoja na kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM.
Chongolo akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Katavi, Juma Kimanta
Akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko
Vikundi vya ngoma vikitoa burudani wakati wa mapokezi hayo
Chongolo akisalimiana na baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM pamoja viongozi wa serikali
Akivishwa skafu na vijana wa CCM alipowasili Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Katavi
Akiangalia ngoma
Baadhi ya wanahabari wakiwajibika
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇