LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 4, 2023

CHONGOLO AIPONGEZA TARURA UJENZI WA DARAJA KUBWA WILAYANI MLELE

Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo akipata maelezo kuhusu ujenzi wa Daraja la Msadya yenye urefu wa mita 60 katika Halmashauri ya Wilaya Mpimbwe, Mlele mkoani Katavi wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM Oktoba 4, 2023. Daraja hili linajengwa kwa gharama ya sh. Bil. 4.8 zinazotokana na tozo za mafuta ya petroli na dizeli.


Komredi Chongolo akihutubia wananchi wakati wa ukaguzi wa daraja hilo ambapo ameipongeza Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini kwa usimamizi wao mzuri wa daraja hilo.




Sehemu ya daraja hilo


IMeandaliwa na RICHARD MWAIKENDA








No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages